iqna

IQNA

Rais Raisi
Diplomasia
IQNA-Raisi Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuna irada baina ya Iran na Afrika kuimarisha na kustawisha uhusiano wa kibiashara na kuongeza kuwa nchi za Afrika zinaweza kunufaika na teknolojia inayomilikiwa na Iran.
Habari ID: 3478736    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/26

­­­­­­­­­Ahadi ya Kweli
IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli utakabiliwa na jibu madhubuti, zito na kali zaidi.
Habari ID: 3478685    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/14

Jinai za Israel
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mauaji yaliyofanywa na jeshi la utawala katili wa Israel dhidi ya wanafamilia wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478673    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/12

Jinai za Israel
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kukatwa uhusiano wa kiuchumi na kisiasa wa nchi za Waislamu na utawala wa Kizayuni ndiyo silaha bora ya kukomesha jinai za Wazayuni huko Palestina.
Habari ID: 3478670    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/11

Salamu za Idul Fitr
IQNA-Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amesema ni wajibu wa kibinadamu na kidini kwa nchi za Kiislamu kukomesha mauaji ya kimbari ya miezi kadhaa ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3478661    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Nasaha
IQNA - Rais wa Iran Ebrahim Raisi amesema Qur'ani Tukufu inaweza kujibu maswali yote ambayo wanadamu wanayo, akibainisha kuwa majibu haya yanaweza kupatikana kwa njia ya ijtihad.
Habari ID: 3478614    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01

Mwezi wa Ramadhani na Diplomasia
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza viongozi na wananchi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani na kusema kuwa, ni wajibu wa viongozi wa nchi za Kiislamu kuhimiza na kudumisha amani na undugu baina ya Waislamu.
Habari ID: 3478497    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Diplomasia
IQNA-Rais Seyed Ebrahim Raisi wa Iran amesisitiza kuwa, bara la Afrika lina nafasi muhimu katika sera za kigeni za serikali ya Iran na kuongeza kuwa: "Uhusiano na Afrika kwa ujumla na hasa nchi za Kiislamu barani Afrika una nafasi maalum sana katika sera zetu za kigeni."
Habari ID: 3478439    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/02

Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kadhia kuu nambari moja ya Ulimwengu wa Kiislamu ni Palestina na ukombozi wa Quds Tukufu, Kibla cha Kwanza cha Waislamu, kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3478281    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/31

Watetezi wa Palestina
IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza yanapongezwa na kusifiwa na watu wote wanaopigania uhuru na ukombozi.
Habari ID: 3478260    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/27

Diplomasia
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa Iran na Mali pamoja na nchi nyingine za Afrika si wa kisiasa na kidiplomasia tu, bali umejengeka katika msingi wa maslahi ya pande mbili na pande kadhaa.
Habari ID: 3478250    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/25

Watetezi wa Palestina
IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamuu ya Iran amesema kuwa, kadhia ya Palestina imegeuka na kuwa kadhia ya kwanza ya jamii ya mwanadamu ulimwenguni.
Habari ID: 3478198    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14

Ujumbe
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuwa, wale wote wanaodai kwamba ni wafuasi wa Nabii Issa Masih (as) hawapaswi kuiunga mkono Israel na mauaji yake dhidi ya watoto huko katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478091    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Watetezi wa Palestina
IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria chimbuko la matukio ya hivi karibuni huko Palestina na kusema kuwa, Marekani na utawala wa Kizayuni zinapaswa kushtakiwa kwa kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza.
Habari ID: 3478082    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Diplomasia ya Kiislamu
RIYADH (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kuzungumza na Mkuu wa Baraza la Utawala wa Sudan na kuutaja utawala wa Kizayuni kuwa balaa kubwa kwa Umma wa Kiislamu na ulimwengu mzima.
Habari ID: 3477884    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/12

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi zinazoinukia kiuchumi na nchi zinazoendelea zina uwezo mkubwa zaidi kuliko wakati mwingine wowote katika kuchangia msingi wa mfumo mpya wa dunia.
Habari ID: 3477868    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/10

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo ya simu aliyofanya na Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad bin Khalifa Al Thani kwamba, leo taifa la Palestina linahitaji zaidi uungaji mkono athirifu wa walimwengu na hasa wa nchi za Kiislamu kuliko wakati wowote ule.
Habari ID: 3477809    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/29

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguo la kusalimu amri na kufanya mapatano kiudhalili halipo tena mezani na kwamba wale wanaoweka uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni ni kujitumbukiza kizazi.
Habari ID: 3477677    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/01

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ulimwengu wa Kiislamu ambao una umoja na mshikamano ndicho kizingiti kikubwa zaidi kwa ubeberu wa dunia.
Habari ID: 3477530    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/01

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Muungano wa kiuchumi wa BRICS wa masoko yanayoibuka duniani umeamua kutoa mialiko ya uanachama kwa mataifa sita.
Habari ID: 3477490    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24